Advertisements

Thursday, May 24, 2018

Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yapitishwa na Bunge

 
Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, akisoma hotuba ya bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2018/2019 bungeni jijini Dodoma. 

Mapema leo Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepisha kiasi cha Shilingi Bilioni Mia Moja Sabini na Saba, Milioni Sita na Mia Mbili Thelathini na Mbili Elfu.

Kati ya fedha hizo Shilingi Bilioni Mia Moja Sitini na Sita, Milioni Mia Sita na Sita, na Mia Mbili Thelathini na Mbili Elfu ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida, na Shilingi Bilioni Kumi na Milioni Mia Nne ni kwa ajili ya bajeti ya maendeleo. 
Pro. Adolf F. Mkenda Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,(wa kwanza kushoto) akifuatilia uwasilishwaji wa hotuba ya bajeti ya Wizara. Wa pili kutoka kushoto, ni Naibu Katibu Mkuu Balozi Ramadhani Mwinyi akifuatilia hotuba. 
Sehemu ya Watendaji wa Wizara wakifuatilia hotuba ya bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2018/2019 iliyowasilishwa na kupishwa bungeni jijini Dodoma 
Mhe.Balozi Dkt. Augustine Mahiga akijibu maswali bungeni mara baada ya kuwasilisha hotuba ya bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2018/2019 
Mhe. Dkt. Susan Kolimba Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (kushoto), akifuatilia hotuba ya bajeti bungeni jijini Dodoma 
Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akifafanua jambo mara baada ya kuwasilisha hotuba ya bajeti ya Wizara. 
Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, akisalimiana na Dkt. Stergomena Tax Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) walipokutana katika viunga vya Bunge jijini Dodoma mara baada kuwasilisha hotuba ya bajeti ya Wizara. 
Mhe. Waziri Mahiga akijadili jambo na Mhe. Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini katika viunga vya Bunge jijini Dodoma mara baada ya kupitishwa kwa hotuba ya bajeti ya Wizara 
Mhe. Waziri Mahiga na Mhe. Naibu Waziri Kolimba wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Waheshimiwa Mabalozi na Watendaji wa Wizara waliohudhuria tukio la uwasilishwaji wa bajeti ya Wizara bungeni jijini Dodoma


HOTUBA YA MHESHIMIWA BALOZI DKT. AUGUSTINE PHILIP MAHIGA (MB), WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA BAJETI YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019



ORODHA YA VIFUPISHO
AF
Adaptation Fund
AfDB
African Development Bank
AfCFTA
African Continental Free Trade Area
AGOA
African Growth and Opportunity Act
AICC
Arusha International Conference Centre
AMISOM
African Union Mission to Somalia
APRM
African Peer Review Mechanism
BBC
British Broadcasting Corporation
CGTN
China Global Television Network
COMESA
Common Market for Eastern and

Southern Africa
COP
Conference of Parties
DW
Deutsche Welle
EAC
East African Community
EPA
Economic Partnership Agreement
FAO
Food and Agriculture Organization

FIB
Force Intervention Brigade

FOCAC
Forum on China-Africa Cooperation

ii



GCF
Green Climate Fund
GEF
Global Environment Facility
GIZ
The Deutsche Gesellschaft für
Internationale Zusammenarbeit GmbH

GPEDC
Global Partnership for Effective

Development Cooperation
IAEA
International Atomic Energy Agency
IGAD
Intergovernmental Authority on

Development
ILO
International Labour Organization
IMF
International Monetary Fund
IOM
International Organization for Migration
IORA
Indian Ocean Rim Association
JNICC
Julius Nyerere International Convention

Centre
KCB
Kenya Commercial Bank
KOICA
Korea International Cooperation Agency
LDCF
Least Developed Countries Fund









iii


MINUSCA                   United Nations Multidimensional Integrated

Stabilisation Mission in the Central African Republic

MK-ICC                       Mt. Kilimanjaro International Convention

Centre

MONUSCO               United Nations Organisation Stabilisation

Mission in the Democratic Republic of the Congo

NPT                                 Non – Proliferation Treaty

PSPF                             Public Sector Pension Fund

RFI                                  Radio France International

RMB                               Renminbi

SADC                            Southern African Development

Community

SDGs                             Sustainable Development

Goals

TAZARA                     Tanzania-Zambia Railway Authority

TBC                                Tanzania Broadcasting Corporation

TEHAMA                   Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

TIC                                  Tanzania Investment Centre

TMEA                           Trademark East Africa

UKIMWI                      Upungufu wa Kinga Mwilini





iv


UNAMID


United Nations African Union Mission in Darfur



UNDP


United Nations Development Progamme




UNDAP



United Nations Development Assistance Plan



UNEP


United Nations Environment Progamme





UNESCO


United Nations Educational Scientific and Cultural Organization



UNFPA


United Nations Population Fund



UN-HABITAT


United Nations Human Settlement Programme



UNHCR


United Nations High Commission for Refugees



UNICEF


United Nations Children’s Emergency Fund



UN-ICTR


United Nations International Criminal Tribunal for Rwanda



UNIDO

No comments: